WATANZANIA LIPENI BILI ZA MAJI: RAIS SAMIA
Georgina Misama – MAELEZO Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania wote nchini wanaopatiwa huduma za maji kujenga utamaduni wa kulipa bili zao kwa wakati ili Serikali itumie fedha hizo katika miradi mingine ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kurejesha fedha za mikopo. Akiwahutubia wakazi wa Misungwi Mkoani Mwanza,
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed